Israel Mbonyi - Malengo Ya Mungu Lyrics

Israel Mbonyi – Malengo Ya Mungu Lyrics

Israel Mbonyi – Malengo Ya Mungu Lyrics

Thank you for visiting,
Lyrics and Materials Here are for Promotional Purpose Only
Please add your comment below to support us.

Thank You!

 

[Verse 1]
Atakaye kuwa na wema
Ahitajie kuheshimiwa
Basi aende ayatafute kwa
kutenda mema bila kusita
Asiyajali macho ya watu
Maana yao sio muhimu
Bali ajali jina nimuitalo
Kwani mi ni Mungu aliyemuumba

Atakaye kuwa na wema
Ahitajie kuheshimiwa
Basi aende ayatafute kwa
kutenda mema bila kusita
Asiyajali macho ya watu
Maana yao sio muhimu
Bali ajali jina nimuitalo
Kwani mi ni Mungu aliyemuumba.

 

[Chorus]
Ninayajua yangu malengo
Ni mema sio mabaya
Ili niwape matumaini ya siku zijazo
Nawapenda

Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majelaha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo

Alitukuta tukigagaa dhambini akatutoa
Katuosha na kutusafisha
Akatuahidi uzima wa milele.

 

[Verse 2]
Simameni kwenye mnara,
usubiri ntakacho kisema
Zizuieni sauti za muovu
Na upende kuwa mwenye haki

Nenda omba tena uombe
Tofautisha kuomba kwako,
Maana hapo nitakuokoa
Nitaoa jeshi kubwa kwa ajili yako

Nenda omba tena uombe
Tofautisha kuomba kwako,
Maana hapo nitakuokoa
Nitaoa jeshi kubwa kwa ajili yako.

 

Malengo Lyrics Israel Mbonyi

 

[Chorus]
Ninayajua yangu malengo
Ni mema sio mabaya
Ili niwape matumaini ya siku zijazo
Nawapenda

Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majelaha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo

Alitukuta tukigagaa dhambini akatutoa
Katuosha na kutusafisha
Akatuahidi uzima wa milele.

 

Ninayajua yangu malengo
Ni mema sio mabaya
Ili niwape matumaini ya siku zijazo
Nawapenda

Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majelaha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo

Alitukuta tukigagaa dhambini akatutoa
Katuosha na kutusafisha
Akatuahidi uzima wa milele.

 

Ninayajua yangu malengo
Ni mema sio mabaya
Ili niwape matumaini ya siku zijazo
Nawapenda

Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majelaha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo

Alitukuta tukigagaa dhambini akatutoa
Katuosha na kutusafisha
Akatuahidi uzima wa milele.

 

Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majelaha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo

Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majelaha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo

Wambieni wenye huzuni
Tulizeni wenye majelaha
Wambieni waje waone
Tuna Mungu mwingi wa upendo.

 

 

VIDEO for Malengo Ya Mungu – Israel Mbonyi

 

 

Also click to Follow US on FaceBookInstaGram, and Twitter

 

Israel Mbonyi – Malengo Ya Mungu Lyrics